Mwanzo 13:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Kwa hiyo Loti akainua macho yake na kuona kwamba wilaya yote ya Yordani+ ilikuwa eneo lenye maji mengi (mbele Yehova aharibu Sodoma na Gomora), kama bustani ya Yehova,+ kama inchi ya Misri, mupaka Soari.+
10 Kwa hiyo Loti akainua macho yake na kuona kwamba wilaya yote ya Yordani+ ilikuwa eneo lenye maji mengi (mbele Yehova aharibu Sodoma na Gomora), kama bustani ya Yehova,+ kama inchi ya Misri, mupaka Soari.+