Mwanzo 19:30 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 30 Kisha wakati fulani Loti pamoja na mabinti wake wawili wakatoka Soari na kuanza kuishi katika eneo lenye milima,+ kwa sababu aliogopa kuishi Soari.+ Kwa hiyo akaanza kuishi katika pango pamoja na mabinti wake wawili. Zaburi 68:20 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 20 Kwetu, Mungu wa kweli ni Mungu mwenye kuokoa;+Na Yehova Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi anaokoa katika kifo.+
30 Kisha wakati fulani Loti pamoja na mabinti wake wawili wakatoka Soari na kuanza kuishi katika eneo lenye milima,+ kwa sababu aliogopa kuishi Soari.+ Kwa hiyo akaanza kuishi katika pango pamoja na mabinti wake wawili.
20 Kwetu, Mungu wa kweli ni Mungu mwenye kuokoa;+Na Yehova Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi anaokoa katika kifo.+