2 Petro 3:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Yehova* hakawie kuhusiana na ahadi yake,+ kama vile watu fulani wanaona kukawia, lakini yeye ni muvumilivu kuwaelekea ninyi kwa sababu hataki mutu yeyote aharibiwe lakini anataka wote wafikie kutubu.+
9 Yehova* hakawie kuhusiana na ahadi yake,+ kama vile watu fulani wanaona kukawia, lakini yeye ni muvumilivu kuwaelekea ninyi kwa sababu hataki mutu yeyote aharibiwe lakini anataka wote wafikie kutubu.+