Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 15:2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 Abramu akajibu: “Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova, utanipatia nini, kwa sababu ninaendelea kuwa bila mutoto na ule mwenye atariti nyumba yangu ni Eliezeri,+ mutu wa Damasko?”

  • Mwanzo 15:4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 4 Lakini angalia! Yehova akamujibu kwa maneno haya, “Mutu huyu hatakuwa muriti wako, lakini mwana wako mwenyewe* ndiye atakuwa muriti wako.”+

  • Wagalatia 4:30
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 30 Hata hivyo, andiko linasema nini? “Fukuza mutumishi mwanamuke pamoja na mwana wake, kwa maana mwana wa mutumishi mwanamuke hatakuwa muriti hata kidogo pamoja na mwana wa mwanamuke mwenye kuwa huru.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine