-
Mwanzo 15:2Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
2 Abramu akajibu: “Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova, utanipatia nini, kwa sababu ninaendelea kuwa bila mutoto na ule mwenye atariti nyumba yangu ni Eliezeri,+ mutu wa Damasko?”
-
-
Wagalatia 4:30Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
30 Hata hivyo, andiko linasema nini? “Fukuza mutumishi mwanamuke pamoja na mwana wake, kwa maana mwana wa mutumishi mwanamuke hatakuwa muriti hata kidogo pamoja na mwana wa mwanamuke mwenye kuwa huru.”+
-