Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 12:8, 9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Kisha wakati fulani akatoka pale na kuenda katika eneo lenye milima upande wa mashariki wa Beteli+ na kusimamisha hema yake, Beteli ilikuwa upande wa mangaribi na Ai+ upande wa mashariki. Akajenga kule mazabahu kwa ajili ya Yehova+ na akaanza kuitia jina la Yehova.+ 9 Kisha, Abramu akavunja kambi na kusafiri kuelekea upande wa Negebu,+ alikuwa anahamisha kambi yake kutoka mahali pamoja mupaka mahali pengine.

  • Mwanzo 26:25
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 25 Kwa hiyo akajenga mazabahu kule na kuitia jina la Yehova.+ Na Isaka akasimamisha hema yake kule,+ na watumishi wake wakachimba kisima kule.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine