-
Mwanzo 12:8, 9Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
8 Kisha wakati fulani akatoka pale na kuenda katika eneo lenye milima upande wa mashariki wa Beteli+ na kusimamisha hema yake, Beteli ilikuwa upande wa mangaribi na Ai+ upande wa mashariki. Akajenga kule mazabahu kwa ajili ya Yehova+ na akaanza kuitia jina la Yehova.+ 9 Kisha, Abramu akavunja kambi na kusafiri kuelekea upande wa Negebu,+ alikuwa anahamisha kambi yake kutoka mahali pamoja mupaka mahali pengine.
-