Zaburi 90:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Mbele milima haijazaliwaAo mbele haujatokeza* dunia na inchi yenye kuzaa,+Tangu milele mupaka milele, wewe ni Mungu.+ Isaya 40:28 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 28 Je, haujue? Je, haujasikia? Yehova, Muumbaji wa miisho ya dunia, ni Mungu kwa umilele wote.+ Yeye hachokake wala kuishiwa nguvu.+ Uelewaji wake hauchunguzike.*+ 1 Timoteo 1:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Sasa kwa Mufalme wa umilele,+ mwenye hawezi kuharibika,+ mwenye haonekanake,+ Mungu pekee,+ kukuwe heshima na utukufu milele na milele. Amina.
2 Mbele milima haijazaliwaAo mbele haujatokeza* dunia na inchi yenye kuzaa,+Tangu milele mupaka milele, wewe ni Mungu.+
28 Je, haujue? Je, haujasikia? Yehova, Muumbaji wa miisho ya dunia, ni Mungu kwa umilele wote.+ Yeye hachokake wala kuishiwa nguvu.+ Uelewaji wake hauchunguzike.*+
17 Sasa kwa Mufalme wa umilele,+ mwenye hawezi kuharibika,+ mwenye haonekanake,+ Mungu pekee,+ kukuwe heshima na utukufu milele na milele. Amina.