Zaburi 2:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Uniombe, na nitakupatia mataifa kuwa uriti wakoNa miisho ya dunia kuwa mali yako.+ Danieli 2:44 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 44 “Katika siku za wafalme hao, Mungu wa mbinguni atasimamisha ufalme+ wenye hautaharibiwa hata siku moja.+ Na ufalme huo hautapewa watu wengine wowote.+ Utaponda na kumaliza falme hizi zote,+ na ufalme huo peke yake utasimama milele,+
44 “Katika siku za wafalme hao, Mungu wa mbinguni atasimamisha ufalme+ wenye hautaharibiwa hata siku moja.+ Na ufalme huo hautapewa watu wengine wowote.+ Utaponda na kumaliza falme hizi zote,+ na ufalme huo peke yake utasimama milele,+