3 Lakini ninaogopa kwamba kwa njia fulani, kama vile nyoka alimushawishi Eva kwa werevu wake,+ pengine akili zenu zinaweza kuharibiwa kutoka kwenye unyoofu wa moyo na mwenendo safi* wenye unamufaa Kristo.+
9 Basi ule nyoka mukubwa+ akatupwa chini, ule nyoka wa zamani,+ mwenye kuitwa Ibilisi+ na Shetani,+ mwenye anapotosha dunia yote yenye kuikaliwa na watu;+ akatupwa chini katika dunia,+ na malaika wake wakatupwa chini pamoja naye.