Mwanzo 3:22 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 22 Kisha Yehova Mungu akasema: “Angalia, mutu huyu amekuwa kama mumoja wetu kwa kujua mema na mabaya.+ Sasa ili asinyooshe mukono wake na kukamata pia matunda ya muti wa uzima+ na kula na kuishi milele,*—”
22 Kisha Yehova Mungu akasema: “Angalia, mutu huyu amekuwa kama mumoja wetu kwa kujua mema na mabaya.+ Sasa ili asinyooshe mukono wake na kukamata pia matunda ya muti wa uzima+ na kula na kuishi milele,*—”