Waroma 5:12 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 Hiyo ndiyo sababu, kama vile kupitia mutu mumoja zambi iliingia katika ulimwengu na kifo kupitia zambi,+ na ni vile kifo kilienea kwa watu wote kwa sababu wote walikuwa wamefanya zambi+—.
12 Hiyo ndiyo sababu, kama vile kupitia mutu mumoja zambi iliingia katika ulimwengu na kifo kupitia zambi,+ na ni vile kifo kilienea kwa watu wote kwa sababu wote walikuwa wamefanya zambi+—.