33 Kwa hiyo Musa akawapatia—wana wa Gadi, wana wa Rubeni,+ na nusu ya kabila la Manase+ mwana wa Yosefu—ufalme wa Sihoni+ mufalme wa Waamori na ufalme wa Ogu+ mufalme wa Bashani, inchi ya miji yake katika maeneo hayo, na miji ya inchi yenye kuizunguka.