-
Mwanzo 35:23Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
23 Wana wa Lea walikuwa Rubeni,+ muzaliwa wa kwanza wa Yakobo, kisha Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, na Zabuloni.
-
-
Mwanzo 46:13Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
13 Wana wa Isakari walikuwa Tola, Puva, Iobu, na Shimroni.+
-
-
Mwanzo 49:14Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
14 “Isakari+ ni punda mwenye mifupa migumu, mwenye kulala katikati ya mifuko mbili ya kiti chenye kuwa juu ya punda.
-