11 Basi watu wote wenye walikuwa katika mulango mukubwa wa muji na wale wazee wakasema: “Tuko mashahidi! Yehova abariki bibi mwenye anaingia katika nyumba yako ili akuwe kama Raheli na Lea, wenye walijenga nyumba ya Israeli.+ Ufanikiwe katika Efrata+ na ukuwe na jina la muzuri katika Betlehemu.+