Mwanzo 46:14 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 Wana wa Zabuloni+ walikuwa Seredi, Eloni, na Yahleeli.+ Mwanzo 49:13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 “Zabuloni+ atakaa pembeni ya bahari, karibu na mahali kwenye mashua* zinatia nanga,*+ na mupaka wake wa mbali utakuwa kuelekea Sidoni.+ Kumbukumbu la Torati 33:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 Kuhusu Zabuloni alisema:+ “Shangilia, Ee Zabuloni, wakati unatoka inje,Na wewe, Isakari, katika mahema yako.+
13 “Zabuloni+ atakaa pembeni ya bahari, karibu na mahali kwenye mashua* zinatia nanga,*+ na mupaka wake wa mbali utakuwa kuelekea Sidoni.+
18 Kuhusu Zabuloni alisema:+ “Shangilia, Ee Zabuloni, wakati unatoka inje,Na wewe, Isakari, katika mahema yako.+