Mwanzo 27:41 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 41 Hata hivyo, Esau akamuchukia Yakobo katika moyo wake kwa sababu ya baraka yenye baba yake alikuwa amemupatia,+ na Esau akakuwa anasema katika moyo wake: “Siku za kumuombolezea baba yangu zinakaribia.+ Kisha siku hizo nitamuua Yakobo ndugu yangu.” Mwanzo 32:11 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 11 Ninakuomba,+ uniokoe, katika mukono wa ndugu yangu Esau, kwa maana ninaogopa kwamba anaweza kuja na kunishambulia mimi,+ na pia mama na watoto wao.
41 Hata hivyo, Esau akamuchukia Yakobo katika moyo wake kwa sababu ya baraka yenye baba yake alikuwa amemupatia,+ na Esau akakuwa anasema katika moyo wake: “Siku za kumuombolezea baba yangu zinakaribia.+ Kisha siku hizo nitamuua Yakobo ndugu yangu.”
11 Ninakuomba,+ uniokoe, katika mukono wa ndugu yangu Esau, kwa maana ninaogopa kwamba anaweza kuja na kunishambulia mimi,+ na pia mama na watoto wao.