Waamuzi 13:17, 18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Kisha Manoa akamuuliza malaika wa Yehova: “Jina lako nani,+ ili tukuonyeshe heshima wakati neno lako litatimia?” 18 Lakini, malaika wa Yehova akamuambia: “Sababu gani unauliza jina langu, wakati jina hilo ni la ajabu?”
17 Kisha Manoa akamuuliza malaika wa Yehova: “Jina lako nani,+ ili tukuonyeshe heshima wakati neno lako litatimia?” 18 Lakini, malaika wa Yehova akamuambia: “Sababu gani unauliza jina langu, wakati jina hilo ni la ajabu?”