Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 16:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Kisha wakati fulani malaika wa Yehova akamukuta Hagari kwenye chemchemi ya maji katika jangwa, chemchemi yenye ilikuwa katika njia ya kuenda Shuri.+

  • Mwanzo 16:13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Kisha akaitia jina la Yehova, mwenye alikuwa anazungumuza naye: “Wewe ni Mungu mwenye kuona,”+ kwa maana alisema: “Je, kweli nimemuona yeye mwenye kuniona?”

  • Waamuzi 6:22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 22 Wakati huo Gideoni akatambua kwamba huyo alikuwa malaika wa Yehova.+

      Mara moja Gideoni akasema: “Ole wangu, Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova, kwa sababu nimemuona malaika wa Yehova uso kwa uso!”+

  • Yohana 1:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 Hakuna mwanadamu mwenye amemuona Mungu wakati wowote;+ mungu muzaliwa-pekee+ mwenye kuwa pembeni ya*+ Baba ndiye ameeleza juu Yake.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine