34 Wakati Esau alikuwa na miaka makumi ine (40), alimuoa Yuditi binti ya Beeri Muhiti na pia Basemati binti ya Eloni Muhiti.+35 Waliletea Isaka na Rebeka uchungu mukubwa.*+
46 Kisha mambo hayo Rebeka akakuwa anamuambia Isaka: “Ninachukia sana maisha yangu kwa sababu ya mabinti wa Heti.+ Kama siku moja Yakobo anachukua bibi kati ya mabinti wa Heti, kama mabinti hawa wa inchi hii, maisha yangu yako na faida gani?”+