18 Kisha kutoka Padan-aramu,+ Yakobo akafika salama kwenye muji wa Shekemu+ katika inchi ya Kanaani,+ na akapiga kambi karibu na ule muji. 19 Kisha akanunua sehemu ya shamba ya wana wa Hamori, baba ya Shekemu, kwa vipande mia moja (100) vya feza,+ akasimamisha hema yake pale.