-
Waebrania 11:8, 9Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
8 Kwa imani Abrahamu,+ wakati aliitwa, alitii kwa kutoka na kuenda mahali kwenye angepokea kuwa uriti; alitoka, hata kama hakujua mahali alikuwa anaenda.+ 9 Kwa imani aliishi akiwa mugeni katika inchi ya ahadi kama katika inchi ya kigeni,+ akiishi katika mahema+ pamoja na Isaka na Yakobo, wariti pamoja naye wa ahadi ileile.+
-