Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 23:3, 4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Kisha Abrahamu akatoka mbele ya bibi yake mwenye alikuwa amekufa na akaambia wana wa Heti:+ 4 “Niko mugeni na muhamiaji kati yenu.+ Munipatie mahali pa kuzikia katikati yenu ili niweze kuondoa mufu wangu na kumuzika.”

  • Mwanzo 28:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 28 Kwa hiyo Isaka akamuita Yakobo na akamubariki na kumuamuru, akisema: “Haupaswe kuchukua bibi kati ya mabinti wa Kanaani.+

  • Mwanzo 28:4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 4 Na atakupatia wewe baraka ya Abrahamu,+ wewe na uzao wako* pamoja na wewe, ili uriti inchi yenye umeishi ndani yake ukiwa mugeni, yenye Mungu amemupatia Abrahamu.”+

  • Waebrania 11:8, 9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Kwa imani Abrahamu,+ wakati aliitwa, alitii kwa kutoka na kuenda mahali kwenye angepokea kuwa uriti; alitoka, hata kama hakujua mahali alikuwa anaenda.+ 9 Kwa imani aliishi akiwa mugeni katika inchi ya ahadi kama katika inchi ya kigeni,+ akiishi katika mahema+ pamoja na Isaka na Yakobo, wariti pamoja naye wa ahadi ileile.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine