6 Yosefu ndiye alikuwa mutu mwenye mamlaka juu ya inchi,+ na ni yeye alikuwa anauzisha nafaka kwa watu wote wa dunia.+ Kwa hiyo ndugu za Yosefu wakafika na kuinamisha nyuso zao mupaka chini mbele yake.+
9 Mara moja Yosefu akakumbuka ndoto zenye alikuwa ameota juu yao,+ na akawaambia: “Ninyi muko wapelelezi! Mumekuja kuona maeneo yenye uzaifu ya* inchi!”