8 Kwa hiyo basi, haiko ninyi ndio mulinituma huku, lakini ni Mungu wa kweli, ili aniweke kuwa mushauri mukubwa* wa Farao na bwana kwa ajili ya nyumba yake yote na mutawala juu ya inchi yote ya Misri.+
26 Baraka za baba yako zitakuwa kubwa kuliko baraka za milima ya milele, kuliko vitu vyenye kutamanika vya milima midogo yenye kudumu.+ Baraka zitaendelea kuwa juu ya kichwa cha Yosefu, kwenye sehemu ya juu ya katikati ya kichwa cha ule mwenye alitengwa na ndugu zake.+