Mwanzo 4:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Kisha mambo hayo Kaini akamuambia Abeli ndugu yake: “Tuende kwenye eneo la mashamba.” Basi wakati walikuwa kwenye eneo la mashamba, Kaini akamushambulia Abeli ndugu yake na akamuua.+ Mwanzo 4:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Kwa hiyo Mungu akasema: “Umefanya nini? Sikiliza! Damu ya ndugu yako iko inanililia kutoka katika udongo.+ Mwanzo 42:22 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 22 Kisha Rubeni akawajibu: “Je, sikuwaambia, ‘Musimutendee mutoto zambi,’ lakini hamukukuwa munanisikiliza?+ Sasa hakika damu yake iko inaombwa.”+
8 Kisha mambo hayo Kaini akamuambia Abeli ndugu yake: “Tuende kwenye eneo la mashamba.” Basi wakati walikuwa kwenye eneo la mashamba, Kaini akamushambulia Abeli ndugu yake na akamuua.+
10 Kwa hiyo Mungu akasema: “Umefanya nini? Sikiliza! Damu ya ndugu yako iko inanililia kutoka katika udongo.+
22 Kisha Rubeni akawajibu: “Je, sikuwaambia, ‘Musimutendee mutoto zambi,’ lakini hamukukuwa munanisikiliza?+ Sasa hakika damu yake iko inaombwa.”+