11 Kwa hiyo Israeli baba yao akawaambia: “Ikiwa inapaswa kuwa vile, basi mufanye hivi: Mubebe vitu vya muzuri zaidi vya inchi katika mifuko yenu na muvipelekee ule mwanaume kuwa zawadi:+ zeri kidogo,+ asali kidogo, ubani mweusi, ngozi ya muti yenye utomvu,+ kungu, na lozi.