38 Lakini Yakobo akasema: “Mwana wangu hatashuka pamoja na ninyi, sababu ndugu yake amekufa na amebakia yeye peke yake.+ Kama jambo fulani lenye kuleta kifo linamufikia katika safari yenye mutafanya, basi hakika mutashusha imvi zangu katika Kaburi*+ kwa huzuni.”+
29 Kama munamuondoa huyu pia mbele ya macho yangu na kama jambo lenye kuleta kifo linamufikia, hakika mutashusha imvi zangu katika Kaburi*+ nikiwa katika huzuni.’+
10 Kila jambo lenye mukono wako unapata kufanya, ulifanye kwa nguvu zako zote, kwa sababu hakuna kazi wala mipango wala ujuzi wala hekima katika Kaburi,*+ mahali unaenda.
13 Na bahari ikatoa wafu wenye walikuwa ndani yake, na kifo na Kaburi* vikatoa wafu wenye walikuwa ndani yavyo, na walihukumiwa kila mumoja kulingana na matendo yake.+