Waroma 8:31 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 31 Basi, tuseme nini juu ya mambo haya? Kama Mungu iko* upande wetu, ni nani atatushinda?+ Waebrania 13:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Ili tukuwe hodari na kusema: “Yehova* ni musaidizi wangu; sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunifanya nini?”+
6 Ili tukuwe hodari na kusema: “Yehova* ni musaidizi wangu; sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunifanya nini?”+