2 Yehova akamuambia Musa: “Ambia Haruni ndugu yako kwamba asikuwe anaingia tu wakati wowote katika mahali patakatifu+ ndani ya pazia,+ mbele ya kifuniko cha Sanduku, ili asikufe,+ kwa sababu nitatokea katika wingu+ juu ya kifuniko hicho.+
14 “Atakamata sehemu fulani ya damu ya ngombe-dume+ na kuinyunyiza* kwa kidole chake mbele ya kifuniko upande wa mashariki, na atanyunyiza* kwa kidole chake sehemu fulani ya damu hiyo mara saba (7) mbele ya kifuniko hicho.+
11 Kisha Daudi akamupatia Sulemani mwana wake plani+ ya ujenzi ya baraza+ na ya nyumba zake, madepo yake, vyumba vyake vya juu, vyumba vyake vya ndani, na nyumba ya kifuniko cha kufunika zambi.*+