Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 16:2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 Yehova akamuambia Musa: “Ambia Haruni ndugu yako kwamba asikuwe anaingia tu wakati wowote katika mahali patakatifu+ ndani ya pazia,+ mbele ya kifuniko cha Sanduku, ili asikufe,+ kwa sababu nitatokea katika wingu+ juu ya kifuniko hicho.+

  • Mambo ya Walawi 16:14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 “Atakamata sehemu fulani ya damu ya ngombe-dume+ na kuinyunyiza* kwa kidole chake mbele ya kifuniko upande wa mashariki, na atanyunyiza* kwa kidole chake sehemu fulani ya damu hiyo mara saba (7) mbele ya kifuniko hicho.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 28:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Kisha Daudi akamupatia Sulemani mwana wake plani+ ya ujenzi ya baraza+ na ya nyumba zake, madepo yake, vyumba vyake vya juu, vyumba vyake vya ndani, na nyumba ya kifuniko cha kufunika zambi.*+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine