-
Kutoka 18:2-4Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
2 Yetro, baba-mukwe wa Musa, alikuwa amekubali Sipora bibi ya Musa aishi pamoja naye, wakati Sipora alirudishwa kwa Yetro, 3 pamoja na wana wake wawili.+ Mumoja aliitwa Gershomu,*+ kwa sababu Musa alisema, “Nimekuwa mukaaji mugeni katika inchi ya kigeni,” 4 na ule mwingine aliitwa Eliezeri,* kwa sababu Musa alisema, “Mungu wa baba yangu ni musaidizi wangu, mwenye aliniokoa kutokana na upanga wa Farao.”+
-