Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 18:2-4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 Yetro, baba-mukwe wa Musa, alikuwa amekubali Sipora bibi ya Musa aishi pamoja naye, wakati Sipora alirudishwa kwa Yetro, 3 pamoja na wana wake wawili.+ Mumoja aliitwa Gershomu,*+ kwa sababu Musa alisema, “Nimekuwa mukaaji mugeni katika inchi ya kigeni,” 4 na ule mwingine aliitwa Eliezeri,* kwa sababu Musa alisema, “Mungu wa baba yangu ni musaidizi wangu, mwenye aliniokoa kutokana na upanga wa Farao.”+

  • Hesabu 12:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Sasa Miriamu na Haruni wakaanza kusema mubaya juu ya Musa kwa sababu ya mwanamuke Mukushi mwenye alikuwa ameoa, kwa sababu alikuwa amechukua mwanamuke Mukushi.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine