-
Kutoka 29:45Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
45 Nitakaa kati ya watu wa Israeli, na nitakuwa Mungu wao.+
-
-
Waebrania 9:11Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Lakini, wakati Kristo alikuja akiwa kuhani mukubwa wa mambo ya muzuri yenye yamekwisha kufanyika, alipita katika hema kubwa na kamilifu zaidi yenye haikutengenezwa kwa mikono, ni kusema, hapana ya uumbaji huu.
-