Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 37:25-28
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 25 Sasa akatengeneza mazabahu ya uvumba+ kwa kutumia mbao za muti wa mugunga.* Ilikuwa na pande ine (4) zenye kuwa sawasawa,* urefu wa mukono mumoja, upana wa mukono mumoja, na urefu kuenda juu wa mikono mbili. Pembe zake zilikuwa sehemu moja pamoja na mazabahu hiyo.+ 26 Aliifunika kwa zahabu safi, sehemu yake ya juu na kuizunguka pande zote na pembe zake, na alitengeneza ukingo wa zahabu kuizunguka. 27 Akaitengenezea pete mbili za zahabu chini ya ukingo wake kwenye pande zake mbili zenye kuelekeana ili zishikilie fito za kubebea mazabahu. 28 Kisha akatengeneza fito za muti wa mugunga* na kuzifunika kwa zahabu.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine