-
Mambo ya Walawi 16:5, 6Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
5 “Anapaswa kukamata kutoka katika mukusanyiko wa Waisraeli+ wana-mbuzi dume wawili kwa ajili ya toleo la zambi na kondoo-dume mumoja kwa ajili ya toleo la kuteketezwa.
6 “Kisha Haruni anapaswa kumutoa ule ngombe-dume wa toleo la zambi, mwenye kuwa kwa ajili yake mwenyewe, na atafunika zambi kwa ajili yake mwenyewe+ na kwa ajili ya nyumba yake.
-
-
Mambo ya Walawi 16:18, 19Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
18 “Kisha atatoka inje na kuenda kwenye mazabahu,+ yenye kuwa mbele ya Yehova, na atafunika zambi kwa ajili ya mazabahu hiyo, na atakamata sehemu fulani ya damu ya ule ngombe-dume na sehemu fulani ya damu ya ule mbuzi na kuitia kwenye pembe za mazabahu pande zote. 19 Pia atanyunyiza* sehemu fulani ya damu hiyo kwa kidole chake mara saba (7) juu ya mazabahu na atasafisha mazabahu hiyo na kuitakasa kwa sababu ya matendo ya uchafu ya Waisraeli.
-