Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 16:5, 6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 5 “Anapaswa kukamata kutoka katika mukusanyiko wa Waisraeli+ wana-mbuzi dume wawili kwa ajili ya toleo la zambi na kondoo-dume mumoja kwa ajili ya toleo la kuteketezwa.

      6 “Kisha Haruni anapaswa kumutoa ule ngombe-dume wa toleo la zambi, mwenye kuwa kwa ajili yake mwenyewe, na atafunika zambi kwa ajili yake mwenyewe+ na kwa ajili ya nyumba yake.

  • Mambo ya Walawi 16:18, 19
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 “Kisha atatoka inje na kuenda kwenye mazabahu,+ yenye kuwa mbele ya Yehova, na atafunika zambi kwa ajili ya mazabahu hiyo, na atakamata sehemu fulani ya damu ya ule ngombe-dume na sehemu fulani ya damu ya ule mbuzi na kuitia kwenye pembe za mazabahu pande zote. 19 Pia atanyunyiza* sehemu fulani ya damu hiyo kwa kidole chake mara saba (7) juu ya mazabahu na atasafisha mazabahu hiyo na kuitakasa kwa sababu ya matendo ya uchafu ya Waisraeli.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine