Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 38:25
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 25 Na feza ya watu wa mukusanyiko wenye waliandikishwa ilikuwa talanta mia moja (100) na shekeli elfu moja mia saba makumi saba na tano (1 775) kulingana na shekeli ya kawaida ya mahali patakatifu.*

  • Hesabu 1:2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 “Muhesabie+ mukusanyiko wote wa Waisraeli,* kila mumoja wao* kulingana na familia yake, kulingana na jamaa zao za upande wa baba, kulingana na hesabu ya majina ya wanaume wote.

  • 2 Samweli 24:10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 Lakini moyo wa* Daudi ukajaa sikitiko+ kisha kuhesabia watu. Kisha Daudi akamuambia Yehova: “Nimetenda zambi+ kubwa kwa kufanya jambo hilo. Na sasa, Yehova, tafazali samehe kosa la mutumishi wako,+ kwa maana nimetenda kwa upumbavu sana.”+

  • 2 Samweli 24:15
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 15 Kisha Yehova akatuma ugonjwa wa kuambukiza+ juu ya Israeli kuanzia asubui mupaka wakati wenye uliwekwa, na hivyo watu elfu makumi saba (70 000) wakakufa+ kuanzia Dani mupaka Beer-sheba.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine