Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 38:26
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 26 Nusu shekeli yenye ilitolewa na kila mutu ilikuwa nusu shekeli kulingana na shekeli ya kawaida ya mahali patakatifu,* ilitolewa na kila mwanaume mwenye alikuwa kati ya wale wenye waliandikishwa kuanzia miaka makumi mbili (20) na zaidi,+ wote walikuwa elfu mia sita na tatu na mia tano makumi tano (603 550).+

  • Hesabu 1:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Wewe na Haruni munapaswa kuandikisha watu wote kuanzia miaka makumi mbili (20) na zaidi+ wenye wanaweza kutumika katika jeshi la Israeli, kulingana na vikundi vyao vya maaskari.*

  • Hesabu 26:1, 2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 26 Kisha pigo hilo,+ Yehova akamuambia Musa na Eleazari mwana wa Haruni kuhani: 2 “Muhesabie mukusanyiko wote wa Waisraeli kuanzia miaka makumi mbili (20) na zaidi, kulingana na jamaa zao za upande wa baba, muhesabie wale wote wenye wanaweza kutumika katika jeshi katika Israeli.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine