-
Kutoka 40:30, 31Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
30 Kisha akatia beseni katikati ya hema ya mukutano na mazabahu na kutia maji ya kunawa ndani ya beseni hiyo.+ 31 Musa na Haruni na wana wake walinawa mikono yao na miguu yao pale.
-