9 Halafu utakamata mafuta ya kutia mafuta+ na kutia tabenakulo mafuta na vitu vyote vyenye kuwa ndani yake,+ na utaitakasa pamoja na vyombo vyake vyote, na itakuwa kitu kitakatifu.
7Siku yenye Musa alimaliza kusimamisha tabenakulo,+ aliitia mafuta+ na kuitakasa, pamoja na vyombo vyake vyote, mazabahu, na vyombo vyake vyote.+ Wakati alikuwa ametia mafuta na kutakasa vitu hivyo,+