2 Haya ndiyo yalikuwa majina ya wana wa Haruni: Nadabu muzaliwa wa kwanza, Abihu,+ Eleazari,+ na Itamari.+ 3 Hayo ndiyo yalikuwa majina ya wana wa Haruni, makuhani wenye kutiwa mafuta wenye walikuwa wamewekwa katika madaraka ili wafanye kazi ya ukuhani.+