Yeremia 31:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Kutoka mbali Yehova alinitokea na kusema: “Nimekupenda kwa upendo wa milele. Ndiyo sababu nimekuvuta kwangu kwa upendo mushikamanifu.*+ Maombolezo 3:22 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 22 Ni kwa sababu ya upendo mushikamanifu wa Yehova ndiyo maana hatukuisha,+Kwa maana hakuna siku rehema zake zitafikia mwisho.+ Mika 7:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 Ni Mungu gani mwenye kuwa kama wewe,Mwenye kusamehe makosa na mwenye haangalie makosa+ ya mabaki ya uriti wake?+ Hataendelea kuwa na kasirani milele,Kwa maana anafurahia upendo mushikamanifu.+
3 Kutoka mbali Yehova alinitokea na kusema: “Nimekupenda kwa upendo wa milele. Ndiyo sababu nimekuvuta kwangu kwa upendo mushikamanifu.*+
22 Ni kwa sababu ya upendo mushikamanifu wa Yehova ndiyo maana hatukuisha,+Kwa maana hakuna siku rehema zake zitafikia mwisho.+
18 Ni Mungu gani mwenye kuwa kama wewe,Mwenye kusamehe makosa na mwenye haangalie makosa+ ya mabaki ya uriti wake?+ Hataendelea kuwa na kasirani milele,Kwa maana anafurahia upendo mushikamanifu.+