-
Mambo ya Walawi 22:18-20Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
18 “Sema na Haruni na wana wake na Waisraeli wote na uwaambie, ‘Wakati Mwisraeli ao mukaaji mugeni katika Israeli anamutolea Yehova toleo la kuteketezwa+ ili kutimiza naziri zake ao kutoa toleo la kujipendea,+ 19 anapaswa kutoa munyama wa kiume mwenye hana kasoro+ kutoka katika mifugo, wana-kondoo dume, ao mbuzi, ili akubaliwe. 20 Hamupaswe kutoa kitu chochote chenye kasoro,+ kwa sababu hakitafanya mukubaliwe.
-