-
Mambo ya Walawi 12:6Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
6 Wakati siku zake za utakaso kwa ajili ya mutoto mwanaume ao mutoto mwanamuke zitamalizika, atamuletea kuhani mwana-kondoo dume katika mwaka wake wa kwanza kwa ajili ya toleo la kuteketezwa+ na njiwa mudogo ao njiwa-tetere kwa ajili ya toleo la zambi kwenye muingilio wa hema ya mukutano.
-
-
Mambo ya Walawi 22:18-20Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
18 “Sema na Haruni na wana wake na Waisraeli wote na uwaambie, ‘Wakati Mwisraeli ao mukaaji mugeni katika Israeli anamutolea Yehova toleo la kuteketezwa+ ili kutimiza naziri zake ao kutoa toleo la kujipendea,+ 19 anapaswa kutoa munyama wa kiume mwenye hana kasoro+ kutoka katika mifugo, wana-kondoo dume, ao mbuzi, ili akubaliwe. 20 Hamupaswe kutoa kitu chochote chenye kasoro,+ kwa sababu hakitafanya mukubaliwe.
-