-
Malaki 1:14Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
14 “Alaaniwe mutu yeyote mudanganyifu mwenye iko* na munyama dume mwenye hana kasoro katika kundi lake, lakini anafanya naziri na kumutolea Yehova zabihu ya munyama mwenye kasoro.* Kwa maana mimi ni Mufalme mukubwa,”+ ni vile Yehova wa majeshi anasema, “na jina langu litakuwa lenye kuogopesha sana kati ya mataifa.”+
-