Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 15:19
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 19 “Unapaswa kutakasa kila muzaliwa wa kwanza wa kiume wa mifugo yako na wa kundi lako kwa ajili ya Yehova Mungu wako.+ Haupaswe kutumia muzaliwa wa kwanza wa mifugo yako* ili kufanya kazi yoyote wala usimukate manyoya muzaliwa wa kwanza wa kundi lako.

  • Kumbukumbu la Torati 15:21
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Lakini kama iko* na kasoro⁠—​ulemavu, upofu, ao kasoro ingine kubwa⁠—​haupaswe kumutoa zabihu kwa Yehova Mungu wako.+

  • Malaki 1:14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 “Alaaniwe mutu yeyote mudanganyifu mwenye iko* na munyama dume mwenye hana kasoro katika kundi lake, lakini anafanya naziri na kumutolea Yehova zabihu ya munyama mwenye kasoro.* Kwa maana mimi ni Mufalme mukubwa,”+ ni vile Yehova wa majeshi anasema, “na jina langu litakuwa lenye kuogopesha sana kati ya mataifa.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine