29 “‘Kila mwanaume kati ya makuhani ataikula.+ Ni kitu kitakatifu sana.+ 30 Lakini, toleo lolote la zambi halitakuliwa kama sehemu fulani ya damu ya toleo hilo imeletwa katika hema ya mukutano ili kufunika zambi katika mahali patakatifu.+ Litateketezwa kwa moto.