Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Isaya 65:4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  4 Wanakaa kati ya makaburi,+

      Na wanapitisha usiku katika nafasi zenye kufichwa,*

      Wakikula nyama ya nguruwe,+

      Na muchuzi wa vitu vichafu* uko katika vyombo vyao.+

  • Isaya 66:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  3 Mwenye anachinja ngombe-dume ni kama mwenye anapiga na kuua mwanadamu.+

      Mwenye anachinja kondoo ni kama mwenye anavunja shingo ya imbwa.+

      Mwenye anatoa zawadi⁠—kama damu ya nguruwe!+

      Mwenye anatoa toleo la ubani la ukumbusho+ ni kama mwenye anabariki kwa maneno ya uchawi.*+

      Wamechagua njia zao wenyewe,

      Na wanafurahia* mambo yenye kuchukiza.

  • Isaya 66:17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 “Wale wenye kujitakasa na kujisafisha ili waingie kwenye mabustani*+ wakimufuata ule mwenye kuwa katikati, wale wenye kula nyama ya nguruwe+ na vitu vyenye kuchukiza na panya,+ wote watafikia mwisho wao pamoja,” ni vile Yehova anasema.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine