-
Mambo ya Walawi 17:15, 16Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
15 Kama mutu fulani, ikuwe mwenyeji ao mugeni, anakula munyama mwenye alipatikana amekufa ao mwenye alipasuliwa na munyama wa pori,+ basi anapaswa kufua nguo zake na kuoga ndani ya maji na hatakuwa safi mupaka mangaribi;+ kisha atakuwa safi. 16 Lakini kama hafue nguo hizo na haoge mwili wake, atajibu kwa sababu ya kosa lake.’”+
-