Isaya 66:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 “Wale wenye kujitakasa na kujisafisha ili waingie kwenye mabustani*+ wakimufuata ule mwenye kuwa katikati, wale wenye kula nyama ya nguruwe+ na vitu vyenye kuchukiza na panya,+ wote watafikia mwisho wao pamoja,” ni vile Yehova anasema.
17 “Wale wenye kujitakasa na kujisafisha ili waingie kwenye mabustani*+ wakimufuata ule mwenye kuwa katikati, wale wenye kula nyama ya nguruwe+ na vitu vyenye kuchukiza na panya,+ wote watafikia mwisho wao pamoja,” ni vile Yehova anasema.