Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 19:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 6 Mutakuwa kwangu ufalme wa makuhani na taifa takatifu.’+ Hayo ndiyo maneno yenye utawaambia Waisraeli.”

  • Mambo ya Walawi 19:2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 “Sema na kutaniko lote la Waisraeli na uwaambie, ‘Munapaswa kuwa watakatifu, kwa sababu mimi, Yehova Mungu wenu, ni mutakatifu.+

  • Kumbukumbu la Torati 14:2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 Kwa maana wewe ni kikundi cha watu watakatifu+ kwa ajili ya Yehova Mungu wako, na Yehova amekuchagua kuwa kikundi chake cha watu, mali yake ya pekee,* katikati ya vikundi vyote vya watu vyenye kuwa juu ya uso wa dunia.+

  • 1 Watesalonike 4:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Kwa maana Mungu hakutuita ili tuishi maisha machafu, lakini alituita ili tukuwe watakatifu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine