Kutoka 19:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Mutakuwa kwangu ufalme wa makuhani na taifa takatifu.’+ Hayo ndiyo maneno yenye utawaambia Waisraeli.” Mambo ya Walawi 19:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 “Sema na kutaniko lote la Waisraeli na uwaambie, ‘Munapaswa kuwa watakatifu, kwa sababu mimi, Yehova Mungu wenu, ni mutakatifu.+ Kumbukumbu la Torati 14:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Kwa maana wewe ni kikundi cha watu watakatifu+ kwa ajili ya Yehova Mungu wako, na Yehova amekuchagua kuwa kikundi chake cha watu, mali yake ya pekee,* katikati ya vikundi vyote vya watu vyenye kuwa juu ya uso wa dunia.+ 1 Watesalonike 4:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Kwa maana Mungu hakutuita ili tuishi maisha machafu, lakini alituita ili tukuwe watakatifu.+
6 Mutakuwa kwangu ufalme wa makuhani na taifa takatifu.’+ Hayo ndiyo maneno yenye utawaambia Waisraeli.”
2 “Sema na kutaniko lote la Waisraeli na uwaambie, ‘Munapaswa kuwa watakatifu, kwa sababu mimi, Yehova Mungu wenu, ni mutakatifu.+
2 Kwa maana wewe ni kikundi cha watu watakatifu+ kwa ajili ya Yehova Mungu wako, na Yehova amekuchagua kuwa kikundi chake cha watu, mali yake ya pekee,* katikati ya vikundi vyote vya watu vyenye kuwa juu ya uso wa dunia.+