-
Kutoka 20:8Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
8 “Kumbuka siku ya Sabato na uione kuwa takatifu.+
-
-
Kutoka 20:11Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Kwa maana katika siku sita (6) Yehova alifanya mbingu na dunia, bahari, na vyote vyenye kuwa ndani, na alianza kupumuzika katika siku ya saba (7).+ Ndiyo sababu Yehova alibariki siku ya Sabato na kuifanya kuwa takatifu.
-
-
Kutoka 31:13Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
13 “Sema na Waisraeli na kuwaambia, ‘Zaidi sana, mutashika sabato zangu,+ kwa maana ni alama kati yangu na ninyi katika vizazi vyenu ili mujue kwamba mimi, Yehova, ninawatakasa ninyi.
-