Zaburi 15:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 15 Ee Yehova, ni nani anaweza kuwa mugeni katika hema yako? Ni nani anaweza kukaa katika mulima wako mutakatifu?+ Zaburi 15:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Hasingizie kwa ulimi wake,+Hamutendee jirani yake jambo lolote la mubaya,+Naye hawaharibishie marafiki wake sifa.*+
15 Ee Yehova, ni nani anaweza kuwa mugeni katika hema yako? Ni nani anaweza kukaa katika mulima wako mutakatifu?+
3 Hasingizie kwa ulimi wake,+Hamutendee jirani yake jambo lolote la mubaya,+Naye hawaharibishie marafiki wake sifa.*+