Mambo ya Walawi 13:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 “Kama mutu iko* na uvimbe kwenye ngozi yake, kigaga,* ao doa lenye linaweza kuwa ugonjwa wa ukoma+ kwenye ngozi yake,* basi anapaswa kupelekwa kwa Haruni kuhani ao kwa mumoja wa wana wake, makuhani.+
2 “Kama mutu iko* na uvimbe kwenye ngozi yake, kigaga,* ao doa lenye linaweza kuwa ugonjwa wa ukoma+ kwenye ngozi yake,* basi anapaswa kupelekwa kwa Haruni kuhani ao kwa mumoja wa wana wake, makuhani.+