-
Mambo ya Walawi 14:2Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
2 “Hii ndiyo inapaswa kuwa sheria kuhusu mutu mwenye ukoma katika siku yenye utakaso wake unahakikishwa, wakati anapelekwa kwa kuhani.+
-
-
Mambo ya Walawi 15:13Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
13 “‘Wakati mutiririko unaacha kutoka na mutu huyo anakuwa safi kutokana na mutiririko huo, basi atahesabia siku saba (7) kwa ajili ya utakaso wake, na anapaswa kufua nguo zake, kuoga ndani ya maji yenye yalishotwa kwenye muto, naye atakuwa safi.+
-