Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 22:31
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 31 “Munapaswa kuwa watu watakatifu mbele yangu,+ na hamupaswe kula nyama ya kitu chochote katika eneo la mashamba chenye kilipasuliwa na munyama wa pori.+ Munapaswa kutupia imbwa nyama hiyo.

  • Mambo ya Walawi 17:15
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 15 Kama mutu fulani, ikuwe mwenyeji ao mugeni, anakula munyama mwenye alipatikana amekufa ao mwenye alipasuliwa na munyama wa pori,+ basi anapaswa kufua nguo zake na kuoga ndani ya maji na hatakuwa safi mupaka mangaribi;+ kisha atakuwa safi.

  • Kumbukumbu la Torati 14:21
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 “Hamupaswe kula munyama yeyote mwenye alipatikana amekufa.+ Munaweza kumupatia mukaaji mugeni mwenye kuwa ndani ya miji yenu,* na anaweza kumukula, ao munyama huyo anaweza kuuzishwa kwa mugeni. Kwa maana wewe ni kikundi cha watu watakatifu kwa ajili ya Yehova Mungu wako.

      “Haupaswe kutokotesha mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine