-
Kumbukumbu la Torati 14:21Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
21 “Hamupaswe kula munyama yeyote mwenye alipatikana amekufa.+ Munaweza kumupatia mukaaji mugeni mwenye kuwa ndani ya miji yenu,* na anaweza kumukula, ao munyama huyo anaweza kuuzishwa kwa mugeni. Kwa maana wewe ni kikundi cha watu watakatifu kwa ajili ya Yehova Mungu wako.
“Haupaswe kutokotesha mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.+
-